iqna

IQNA

IQNA – Maombi ya visa za Umrah yameanza tena rasmi siku ya leo Jumanne, tarehe 10 Juni, hivyo kuwapa fursa waumini kutoka mataifa mbalimbali kuanza maandalizi ya safari tukufu kuelekea miji mitakatifu ya Makkah na Madinah kwa ajili ya Hija ndogo ya Umrah.
Habari ID: 3480820    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10

Umra 1445
MAKKA (IQNA) - Waislamu milioni 10 kutoka nje ya Saudi Arabia wanatarajiwa kushiriki katika Hija ndogo ijulikanayo kama Umrah, makadirio yanaonyesha.
Habari ID: 3477256    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/09

Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Saudi Arabia wametangaza kwamba umri wa chini kabisa wa kutoa kibali rasmi cha Umrah ni miaka mitano.
Habari ID: 3476232    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11